Baba mzazi wa Tunda, Saba Sita amempaka baraka mchumba wa binti yake Tunda kumuoa huku akimuambi hatamdai mahari.
Baba yake Tunda aliyasema hayo jana usiku wakati wa kusherehekea siku wa kuzaliwa kwa binki yake Tunda.
“Sina maana mbaya lakini nikuondolee wasiwasi si bora hata wewe mahari mimi nina nyumba nina magari sijui ndio wewe unataka kutangaza nia nasema kwa yoyote kwani wewe hutaki kuwa na baba mkwe kama mimi ofisa ofisa hivi?,” alihoji huku akimuangalia Whozu.
“Haya mambo yanapagwa na mwenyezi Mungu unaweza ukapata na yasiwe kama unavyotegemea lakini nimefurahi kukuona pia nimekuona kwenye Tv nimekuona ukiwa mdogo mdogo,”
“Pia Tunda ameshaniambia usiseme ameniambia nini basi nenda ukakae uwe huru tuu.. Najua Birthday ni kuzaliwa huwa inafuatiwa na mambo mengi,”
Baba mzazi wa Tunda, Mzee Saba Sita amepewa nafasi ya kuzungumza wakati wa Birthday party ya Tunda, alimuita Whozu na kumpa Baraka za kumuoa Binti yake. “nikuondoe wasiwasi sikudai hata mahari nyumba ninazo na magari, hutaki kuwa na Baba Mkwe kama mimi!? https://t.co/UYcDQyi3ZC pic.twitter.com/6wnRekJzPE
— millardayo (@millardayo) July 22, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/22/baba-yake-tunda-amuambia-whozu-hata-mdai-mahari-kwa-binti-yake-kama-yupo-tayari-kutangaza-nia/
No comments:
Post a Comment