Saturday, July 25, 2020

Rais Magufuli awasili msibani na kutoa pole kwa familia ya Mkapa

Rais John Magufuli amefika msibani Masaki jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuyka pole kwa familia ya marehemu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamini Mkapa.

Rais Magufuli amesaini kitabu cha maombolezo cha Hayati Benjamin Mkapa.

Rais Mstaafu Mkapa amefariki jana kuamkia leo alipokuwa amelazwa hospitali kwa ajili ya matibabu jijini Dar es Salaam.

 



source http://www.bongoleo.com/2020/07/25/rais-magufuli-awasili-msibani-na-kutoa-pole-kwa-familia-ya-mkapa/

No comments:

Post a Comment