Thursday, July 30, 2020

Watu 10 wamefariki dunia na wengine 87 wameokolewa mkoani Kigoma

Watu 10 wamefariki dunia na wengine 87 wameokolewa baada ya boti waliyosafiri nayo kupitwa dhoriba na kuzama katika ziwa Tanganyika.

Mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amethibitisha kutokea kwa tukio.

https://twitter.com/earadiofm/status/1289074331885154304?s=08

Tutaendelea kukupatia taarifa nyingine kuhuhusiana na tukio hilo hapo baadaye.



source http://www.bongoleo.com/2020/07/31/watu-10-wamefariki-dunia-na-wengine-87-wameokolewa-mkoani-kigoma/

No comments:

Post a Comment