Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mwili wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, ataagwa kwa siku mfululizo kuanzia Julai 26 hadi 28, 2020.
Waziri Mkuu, Majaliwa amesema Rais Mstaafu Mkapa atazikwa siku ya Jumatano katika kijiji cha Lupaso mkaoni Mtwara.
Rais Mstaafu Mkapa amefariki usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali kwa ajili ya matibabu jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa utaagwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia Julai 26-28 Jijini DSM, na atazikwa siku ya Jumatano katika Kijiji cha Lupaso mkoani Mtwara.#RIPMkapa pic.twitter.com/3ap40dNE3u
— EastAfricaRadio (@earadiofm) July 24, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/24/mkapa-kuagwa-siku-tatu-mfululizo/
No comments:
Post a Comment