Mashabiki 25 wa Klabu ya Yanga waliokuwa wakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Morogoro kushuhudia mechi ya Klabu hiyo dhidi ya Mtibwa wamenusurika kifo baada ya kupata ajali.
Gari hilo aina ya Coaster lilipinduka eneo la Kingolwira nje kidogo ya manispaa ya Morogoro.
Uongozi wa Klabu ya Yanga umetoa pole kea wanachama na mashabiki wa Tawi la Kidali asilia Tandale waliopata ajali wakiwa njiani kuelekea
Mashabiki 25 wa klabu ya Yanga waliokuwa wakitokea jijini Dar es-salaam kuelekea mjini Morogoro kushuhudia mchezo wa klabu hiyo dhidi ya Mtibwa Sugar wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka eneo la Kingolwira nje kidogo ya manispaa ya Morogoro. pic.twitter.com/GSoykngf7i
— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) July 22, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/22/mashabiki-25-wa-klabu-ya-yanga-wamenusubika-kufa-baada-ya-kupata-ajali/
No comments:
Post a Comment