Mchekeshaji, Idris Sultan, amesema hataki kuwa mnafiki kwani Steven Nyerere alimuongelea maneno mabaya kwenye mahojiano.
Idris amesema hata kama kulikuwa na ukweli au la alipaswa kumuambia moja kwa moja.
“Sitaki kuwa mnafiki, kaka Steve juzi kaniongelea mbovu sana kwenye interview, mambo ambayo hata kama ni kweli au la aliweza kuniambia personally,” aliandika Idris katika ukurasa wake wa Twitter.
“Nikahojiwa na Mimi nikasema siwezi ongea ni mkubwa wangu tena hasa sasa anavyotafuta ugali wa chama. Allah be with you wakati huu mgumu,” alisema.
Sitaki kuwa mnafki, kaka Steve juzi kaniongelea mbovu sana kwenye interview, mambo ambayo hata kama ni kweli au la aliweza niambia personally. Nikahojiwa na mimi nikasema siwezi ongea ni mkubwa wangu tena hasa sasa anavyoutafuta ugali wa chama. Allah be with you wakati huu mgumu.
— Idris Sultan (@IdrisSultan) July 21, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/21/idris-amtolea-povu-steve-nyerere-anavyoutafuta-ugali-wa-chama/
No comments:
Post a Comment