Watu wawili akiwemo aliyekuwa diwani wa kata ya Ngwala mkoani Songwe wamefariki katika ajali.
Gari ndogo ya mizigo aina ya Toyota Pick-Up iliyodaiwa kusukumwa na lori la maji la majina kisha kutumbukia kwenye korongo la mto Saza.
Taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo tutakuletea baadaye..
Watu wawili akiwemo aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ngwala mkoani Songwe wamefariki katika ajali ya gari ndogo ya mizigo aina ya Toyota Pick-up iliyodaiwa kusukumwa na lori la maji kisha kutumbukia kwenye korongo la mto Saza. pic.twitter.com/FqzMK5hSG1
— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) August 7, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/08/07/watu-wawili-wamefariki-katika-ajali-akiwemo-diwani/
No comments:
Post a Comment