Wednesday, August 12, 2020

Kutana na Wanaume Wawili Waliomuoa Mwanamke Mmoja, Wanaishi Pamoja

Polyamorous woman shows off her two husbands

Wanaume hao, kila mmoja na mtoto mmoja

Mwanamke huyo amewapongeza pakubwa kwa kuishi naye kwa Amani

Kuishi kingi kuona mengi. Je umewahi kufiri kuhusu kisa ambako mwanamke anaolewa na wanaume wawili kisha wakaishi pamoja kwa amani?

Mwanamke mmoja raia wa Amerika amewasha mitandao na kuwaacha wengi vinywa wazi baada ya kubaini kuwa ameolewa na wanaume wawili. Si kuolewa tu, wanaume hao wanaishi naye katika chumba kimoja.

Mwanamke huyo aliyetambulika kama Kenya Stevens alichukua hatua ya kipekee kwa kupakia mtandaoni picha aliyopiga na wanaume wake hao wakiwa pamoja.

Kando na kuwasifia kwa kushi naye kwa amani, Kenya alijaribu kubainisha jinsi wachumba wake hao wanavyofanana.

View this post on Instagram

Poly girls have all the fun!!! 😂😂 Here’s me and my two life partners. One is a body love WC™ one is a mind love CC™ – They’re both 6’3. They both have beards… We all wear glasses 😂😂 One is a Southern Gent, the other is a shrewd northerner. We live together and we get along really well. I’m raising both their sons – our oldest two are away at college! . . Interesting fact – Both hubbies are super #hetero – I identify as #omnisexual – but I’ve not had a female-bodied partner since I was 8 years old! (Yes humans are sensual from a very early age… #normal) Hmmmmm….. I wonder what’s up with that?… Anyways! Have a great day! . . #jujumama #progressivelove #polyamory #polylife #polyam #marriage #relationships #fun sure i can support you in building your #polylife – use my links!

A post shared by Kenya K Stevens (@progressive_love_academy) on

‘’Hapa ni mimi na wapenzi wangu wa maisha. Wote wana urefu wa 6‘3. Wote wana ndevu. Sote tunatumia miwani. Tunaishi pamoja kwa amani. Nawalea wanao wa kiume- vijna hao wako shuleni.’’Kenya aliandika.

Kisa hiki kiliibua mjadala mitandaoni wengi wakidai kuwa wanaume hao wamerukwa akili.

Baadhi wakidai kuwa ni wanaume ambao hawataki majumu, na hivyo wanakaa na kulishwa kama wajinga, wengine nao wakieleza kuwa wamepumbazawa akili.

Msimamo wako ni upu?

Je, weweza kukubali kuolewa na wanaume wawili? Ama Je waweza kukubali kuoa mwanamke mmoja mkiwa wanaume wawili?



source http://www.bongoleo.com/2020/08/12/kutana-na-wanaume-wawili-waliomuoa-mwanamke-mmoja-wanaishi-pamoja/

No comments:

Post a Comment