Thursday, August 13, 2020

Kinachojiri kwenye magazeti ya leo Agosti 14, 2020

Habari mdau wetu leo ni siku ya Ijumaa Agosti 14, 2020 tunakukaribisha utazame kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za magazeti  ya nchini.

Kipengele hiki Muhimu katika kuhabarika na Opera News kinapatikana kila siku asubuhi.

Kwa ujumla yapo magazeti mbalimbali yaliyosheheni habari za kisiasa, burudani, michezo na  elimu.

Habari kubwa zilizosheheni kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo, karibu msomaji wetu ujisomee.

 

 

MBELE YA WAZEE, RC DSM ATOBOA SIRI “HAMTAKIWI KUSUBIRI, NILITOA MAAGIZO”

 

 



source http://www.bongoleo.com/2020/08/14/kinachojiri-kwenye-magazeti-ya-leo-agosti-14-2020/

No comments:

Post a Comment