Wakili wa kujitegemea, Fatma Karume, amesema ni kweli Rais John Magufuli ametoa elimu bure kwa kila mtoto.
“Isipokuwa mtoto wa kike anayeshika mimba akiwa shule,” aliandika Fatma katika ukurasa wake wa Twitter
“Kwa mtoto wa kike huyu, Magufuli anasema afukuzwe shule kabisa,” aliandika Fatma.
Fatma alisema ana swali kwa Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu akitaka kujua hao watoto wa kike wamezaliwa na wanawake au majiwe.
Ni kweli Magufuli katoa ELIMU bure kwa kila mtoto ISIPOKUWA mtoto wa KIKE anayeshika mimba akiwa Shule. Kwa MTOTO wa KIKE huyu, Magufuli anasema AFUKUZWE Shule kabisa. Swali kwa Samia: Hawa watoto wa kike wamezaliwa na wanawake au na MAJIWE? pic.twitter.com/GSUV7RXhni
— fatma karume aka Shangazi (@fatma_karume) August 8, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/08/08/fatma-rais-magufuli-ametoa-elimu-bure-isipokuwa-anayepata-mimba-shuleni/
No comments:
Post a Comment