Mkurugenzi mtendaji wa Simba, Senzo Mbatha ametangaza kujuzulu nafasi hiyo ikiwa ni baada ya kudumu na klabu hiyo kwa takribani mwaka mmoja.
Senzo ametangaza uamuzi huo leo na kushukuru uongozi wa klabu hiyo kwa kumpa nafasi ya kufanya kazi na klabuni hapo kwa mafaanikio kwani kwenye kipindi cha mwaka mmoja alichodumu Simba amefanikiwa kuingoza klabu hiyo kushinda ligi Kuu bara,ngao ya hisani na kombe la FA.
A special thank you message to @SimbaSCTanzania leadership for providing me the opportunity to lead this great club. I regrettably have tendered my resignation from the club with immediate effect. Within a short space of time , a lot has been achieved. Asanteni Sana wana Simba.
— Senzo Mbatha (@SMbatha_Senzo) August 9, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/08/09/breaking-news-kigogo-simba-sc-atangaza-kujiuzulu/
No comments:
Post a Comment