Rais John Magufuli amewataka viongozi kuridhika na kazi wanazopewa.
“Kwenye hizi kazi kuridhika ni kitu kikubwa sana, yule kijana ale anaitwa Selemani ni PHD holder lakini mshahara ni laki tano lakini aliridhika na mshahara wake,” alisema
Aliongezea “Ilipojitokeza fursa ndiyo tukamteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa,”.
"Kwenye hizi kazi kuridhika ni kitu kikubwa sana, yule kijana pale anaitwa Selemani ni PHD holder lakini mshahara ni laki 5, lakini aliridhika na mshahara wake. Ilipojitokeza fursa ndiyo tukamteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa" – @MagufuliJP #UapishoIkulu pic.twitter.com/SsrT7aTOoK
— eastafricatv (@eastafricatv) July 16, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/16/rais-magufuli-kwenye-hizi-kazi-kuridhika-ni-kitu-kikubwa-sana/
No comments:
Post a Comment