Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, amesema hajachukua fomu ya kuomba kuwania ubunge jimbo la ubunge kupitia Chadema.
Amesema kitendo cha yeye kutokuchukua fomu haimzuii kugombea ubunge katika jimbo hilo kupitia chama kingine.
Leo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo, amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea jimbo la Ubungo.
#HABARI Mbunge wa Ubungo aliyemaliza muda wake Saed Kubenea, amekiri kwamba ni kweli hakuchukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia @ChademaTz na kwamba hiyo haimuzuii yeye kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia chama kingine. pic.twitter.com/9XtUf8hZNZ
— EastAfricaRadio (@earadiofm) July 15, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/15/kubenia-hata-kama-sijachukua-fomu-chadema-hainizui-kugombea-ubungo-kwa-chama-kingine/
No comments:
Post a Comment