Aliyekuwa Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche, amesema Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) limebaki ni jukwaa la mabaunsa, watoa vitisho na hawajui kujenga hoja wala kujibu hoja.
Heche aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter “Ndio maana vijana wanaotoka Chadema wanapata vyeo wanaacha wanapiga miayo na midomo,”.
“Jitathimini nyie wenyewe. Kila nikiangalia vijana wa UVCCM naona wanahamasisha fujo, vitisho na ujinga,” aliadika Heche.
Uvccm limebaki jukwaa la mabaunsa, watoa vitisho.. hawajui kujenga hoja wala kujibu hoja.
Ndio maana vijana wanaotoka Chadema wanapata vyeo wanaacha wanapiga miayo na midomo. Jitathiminini nyie wenyewe. Kila nikiangalia vijana wa UVCCM naona wanahamasisha fujo vitisho na ujinga.— John Heche (@HecheJohn) July 15, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/15/heche-uvccm-wamebaki-ni-jukwaa-la-mabaunsa-na-kutoa-vitisho/
No comments:
Post a Comment