Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Joseph Gwajima amechukua fomu ya kuomba kugombea jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Gwajima ametinga Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni na kuchukua fomu.
Jimbo hilo la Kawe lilikuwa linashikiliwa na aliyekuwa mbunge Halima Mdee (Chadema).
Halima Mdee ametangaza nia ya kugombea katika jimbo hilo.
#Uchaguzi2020 Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania ubunge Jimbo la Kawe kupitia tiketi ya @ccm_tanzania pic.twitter.com/yTZthNIhMp
— EastAfricaRadio (@earadiofm) July 14, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/14/gwajima-atinga-kuchukua-fomu-ya-kuwania-ubunge/
No comments:
Post a Comment