Aliyekuwa diwani wa Sinza kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Renatus Pamba na wanachama wengine wametangaza kukihama chama hicho.
Pamba pamoja na wenzake wameeleza kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo leo jijini Dar es Salaam.
Sababu ya kukihama chama hicho no kuwepo kwa mgogoro wa uongozi ndani ya Wilaya ya ubungo uliosababisha kufanyika uchaguzi mwingine
Aliyekuwa diwani wa Sinza kupitia CHADEMA Renatus Pamba na wanachama wengine wametangaza kujivua uanachama CHADEMA na kuomba kujiunga ACT Wazalendo akitaja mgogoro wa kiuongozi ndani ya Wilaya ya Ubungo uliopelekea kufanyika uchaguzi mwingine kama sababu kuu #CloudsDigitalUpdates pic.twitter.com/dmT8Y1aE90
— Clouds Media (@CloudsMediaLive) July 14, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/14/diwani-wa-chadema-sinza-na-wenzake-watimkia-act-wazalendo/
No comments:
Post a Comment