Basi la Kyela Express Lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Wilayani Kyela limepinduka katika njia panda ya Lutengano kijiji cha Ushirika Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.
Ajali hiyo anadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo na kujeruhi baadhi ya watu.
Habari kuhusiana na tukio hilo tutakujulisha baada ya kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya.
Basi la Kyela Express lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda wilayani Kyela limepinduka katika njia panda ya Lutengano, Kijiji cha Ushirika wilayani Rungwe mkoani Mbeya usiku wa kuamkia leo.
Tunaendelea kufuatilia undani wa tukio hili baki nasi. pic.twitter.com/yckxKP8mZN
— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) July 17, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/07/17/ajali-ya-basi-la-kyela-express-limepinduka/
No comments:
Post a Comment