Aliyekuwa meya wa Iringa, Alex Kimbe amemtaka aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilombero (CHADEMA), Peter Lijualikali kuomba msamaha kwa wanchamadema na mungu wake kutokanana usaliti aliofanya kwenye chama hicho huku akimpigia kampeni Rais Magufuli.
Kimbe amesema hayo leo kupitia ujumbe wake aliotuma kwenye ukurasa wake wa Twitter kujibu jumbe wa Peter Lijualikali jana Agosti 5, 2020, na kumdadi mgombe urais wa CCM, John Magufuli.
“Unajipendekeza ili upewe uteuzi, ujanja ni kukaa kimya tu huwezi kusema jambo lolote kwa sasa na dunia ikakuelewa, ukitaka dunia ikuelewe ni kupiga magoti na kuomba msamaha kwa usaliti ulifanya, kwa hapo unaweza kueleweka” amendika Kimbe.
Unajipendekeza ili upewe uteuzi, ujanja ni kukaa kimya tu huwezi kusema jambo lolote kwa sasa na dunia ikakuelewa, ukitaka dunia ikuelewe ni kupiga magoti na kuomba msamaha kwa usaliti ulifanya, kwa hapo unaweza kueleweka https://t.co/29vVXI9vxn
— Alex kimbe(Mayor 2015-2020)iringa (@MayorIringa) August 6, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/08/06/meya-kimbe-amlipua-lijualikali-ukitaka-dunia-ikuelewe-omba-msamaha/
No comments:
Post a Comment