Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema watafanya ushirikiano ili kupambana na adui yao CCM.
“Nataka kuwahakikishia Watanzania kwamba tutaendelea kufanya juhudi mpaka dakika za mwisho kuhakikisha tunakuwa na mashirikiano ili twende tukapambane na adui yetu CCM tuweze kuibadilisha nchi yetu,” amesema Zitto
Zitto amesema chama cha ACT-Wazalendo ni chama kichanga kuliko vyote vya Tanzania kikiwa na umri wake wa miaka sita tangua kuanzishwa kwake.
Amesema taswira ya mkutano mkuu ni tofauti na uhalisia.
'' Chama cha @ACTwazalendo ni chama kichanga kuliko vyote Tanzania kwa umri wake kikiwa na miaka 6 tangu kuanzishwa kwake lakini taswira ya Mkutano Mkuu huu ni tofauti kabisa na uhalisia'' – @zittokabwe #MkutanoMkuuACT2020 pic.twitter.com/B4oFLzxTFN
— EastAfricaTV (@eastafricatv) August 5, 2020
source http://www.bongoleo.com/2020/08/05/zitto-tutafanya-ushirikiano-ili-kupambana-na-adui-yetu-ccm/
No comments:
Post a Comment