Thursday, January 30, 2020

Si ajabu bado unataka kuzaa, huku unasema hautaki kuolewa. 😲😲😲


Je utazaa na nani kama si umejiandaa kuwa mchepuko wa ndoa ya mwanamke mwenzako aliyekubali kuolewa? πŸ˜’πŸ˜’
Hautaki kuolewa basi acha ndoa za wanawake wenzako waliojitolea kuingia kwenye ndoa ziwe salama. πŸ˜πŸ˜.
Wanawake wenzako wanaumizwa ndoani, ndoa zinayumba kisa wewe mwanamke usiyefikiria kwa mapana kuhusu uamuzi wako wa kutokuolewa, et sina imani na wanaume πŸ˜πŸ˜, kwani huyo mume wa mtu unayetaka uzae naye ametoka dunia nyingine? πŸ˜‰πŸ˜‰.
Ngoja niishie hapa kwa leo ila najua wanawake wenye nia ya kutunza ndoa zao wamenielewa! πŸ˜ŠπŸ˜Š.


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/01/si-ajabu-bado-unataka-kuzaa-huku.html

No comments:

Post a Comment