Thursday, January 30, 2020

Si ajabu bado unataka kuzaa, huku unasema hautaki kuolewa. 😲😲😲


Je utazaa na nani kama si umejiandaa kuwa mchepuko wa ndoa ya mwanamke mwenzako aliyekubali kuolewa? 😒😒
Hautaki kuolewa basi acha ndoa za wanawake wenzako waliojitolea kuingia kwenye ndoa ziwe salama. 😏😏.
Wanawake wenzako wanaumizwa ndoani, ndoa zinayumba kisa wewe mwanamke usiyefikiria kwa mapana kuhusu uamuzi wako wa kutokuolewa, et sina imani na wanaume 😏😏, kwani huyo mume wa mtu unayetaka uzae naye ametoka dunia nyingine? 😉😉.
Ngoja niishie hapa kwa leo ila najua wanawake wenye nia ya kutunza ndoa zao wamenielewa! 😊😊.


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/01/si-ajabu-bado-unataka-kuzaa-huku.html

No comments:

Post a Comment