Tuesday, January 28, 2020

KAMA ULITOA MIMBA HII INAKUHUSU

πŸƒBARUA YANGU KWA ULIYOTOA MIMBA.
Unavutwa na tamaa ya ngono Wenda mwenyewe hujabakwa, wajua fika matokeo ya unachotenda si tu wamkosea muumba Kwa kuzini lakini pia unaua ndiyo lahaula mwone Sura waonekana Mpole na mwema kumbe muuaji hakika wajua malipo yako.
Wajidanganya ATI nawe Binti ngono imekuchakaza hautamaniki wajaribu kujiriwaza Kwa vimini na mkorogo ili uitwe Binti lakini ukweli ni kuwa nafsi yako yatambua kuwa wewe ni mama WA marehemu!
Ngono imekuwaka dakika tano au mbili Yuko Hamisi na Abdala wakusubiri ukikosa gono Ukimwi wakusubiri!
Utavuna endelea kukazana nguo fupi uvae wewe ikupe tabu kuinama hakika umestawi kumwasi Muumba mwema.
Salaam zangu kwako mtoa mimba.


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/01/kama-ulitoa-mimba-hii-inakuhusu.html

No comments:

Post a Comment