Friday, January 31, 2020

Jinsi ya Kujua kama Umemfikisha kweli Kileleni na Kumridhisha Mwanamke Wako.


Image result for corazon kwamboka ig

Unahisi unawezaje kutofautisha kama umemfikisha kweli mpenzi wako kileleni au anapiga kelele za kimahaba za kukuzingua?

#1; Unamwelewa

Tuweke hivi, “Ooooh, hapo hapo usiitoe… ooh, naisikia mpaka kichwani!”, mwanamke huwa anasema hivi akiwa anakandwa miguu yake na maji ya moto baada ya safari ya miguu ya mwendo mrefu, “OH… USI…., JAMA… UNA…. NDIO…., HAPO HA…”, hivi ndomwanamke anavyosema ukiwa unashughurika vizuri kitandani, akiweza kuunganisha sentensi nzima na ikaeleweka ujue anakuzuga, maana akifikia mshindo akili yote inakua kama haifanyi kazi vizuri na ikitokea akiwa analia kama kwenye video za ngono wanavyolia, ujue anakusubiri umalize mambo yako aanze kukuelezea shida zake alizonazo, wale wa kwenye video za ngono huwa wana igiza, mwanamke wa kihalisia wa kawaida huwa hawafiki kileleni iwapo mwanaume anatumia nguvu ovyo ovyo bila ya mpangilio na msuguano wowote unaohusisha kinembe.

#2; Uso wake unakuwa mzuri

Ulishawahi kujiangalia kwenye kioo wakati uume waako unagombana na mikono yako, najua ulishawahi kujisugua, nani ambae hajawai…, hakuna!, na unaelekea yale mambo kumwagika, unajua usowako unakuwaje?, uso wako unakuwa kama vile unataka kutolewa maisha au kama unataka kulia vile, binadamu wote wako sawa upande wa kihisia, hata wanawake pia!, akiwa na sura nzuri wakati ndo anafika mshindo ujue hapo hakuna!, anatakiwa kuwa na sura ambayo haina mvuto kama anataka kulia na sio awe bado anapendeza kama ndo anaingia harusini.

#3; Unafanya mapenzi na mpenzi wako kwa staili ya kimbwa mbwa

Mwanamke kufika kileleni kwa stairi ya kujamiiana kutoka kwa nyuma ni sawa na wewe kufika mshindo huku mwanamke akiwa anakuchezea kwa mikono.
Sijasema haiwezekani, ila inahitaji ufundi mkubwa na dereva inabidi awe anaijua kwa umakini mkubwa njia yake anayopita, ili manbo hayo yaweze kutokea, kwa hio nitakua na wasiwasi kama mwanamke akisema kafika kileleni kwa kutumia hio stairi, mwanamke anauwezo mkubwa wa kufika kileleni iwapo anafanya mapenzi ila yeye ndo yuko juu ya mwanaume kashika msukani, au kwa stairi ya missionary inayoitwa Coital Alignment Technique kwa kifupi The Cat, najua huijui… i gugo(google) na utaiona.

#4; Ngozi yake inakuwa nyororo na kavu

Mwanamke akiwa amefika kileleni eneo la kuma yake linakuwa limeloana, moyo humuenda mbio, presha ya damu vyote vinakuja juu ambavyo inamaanisha lazima jasho limtoke kwa aina yeyote ile na mwili unakua na majimaji kwenye ngozi, hii ni moja ya dalili amekwea mlima na kufika kileleni kwa furaha na kama ni mmwagaji, kuma inatokwa na maji basi shuka zote huwa zimeloana.

#5; Anakubusu bila kuacha

Kwa mwanamke ili afike kileleni, inabidi awe na umakini mkubwa na kuweka hisia zake zote kwenye msuguano na msisimko anaoupata mwilini mwake ili afike mshindo, kubusu na kutekenya hawezi kuvifanya kwa wakati huo ambao anaweka mawazo yote mahala hapo, ukiona unataka kumpiga denda akageukia pembeni ujue mambo ndo yamemkolea vizuri na sio vinginevyo.


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/01/jinsi-ya-kujua-kama-umemfikisha-kweli.html

No comments:

Post a Comment