Tuesday, February 11, 2020

SMS TAMU ZA USIKU MWEMA


Neno " USIKU MWEMA" halimaanish kuwa ni mwsho wa cku,
bali ni njia yakukuonyesha kuwa nakukumbuka kabla cjalala,
nadhan unatambua thamani yako kwangu, usikumwema
.....................
UPENDO si ndege ukaonekana angani,
UPENDO si tunda lichumwalo mtini,
UPENDO si wimbo ningekuimbia, UPENDO si vazi ningekushonea,
UPENDO si picha yangu ningekutumia bali
UPENDO ni thamani iliyoko moyoni mwangu.
nakupenda na nakutakia usku mwema.
....................................
Hisia njema na nzuri ni pale unapodhani nimekusahau
na kukutenga na ghafla ukapata ujumbe wangu kuwa
ninakukumbuka,ninakujali na kukuombea, ucku mwema
.....................................
. Nikisema
"-.-" "m2 muhimu"
Namaanisha
M2 namthamini,
M2 namjali,
M2 nampenda,
M2 namheshim
M2 huyo c mwingine ila ni ww ninayekutakia
USIKU MWEMA.
................................
"UPENDO" ni kawaida yangu
"CHUKI" SI busara kwangu, "KUISHI"
Na watu vizuri ni sehemu ya maisha yangu,
kuwasalimu niwapendao ni hulka yangu.. Gd9t
........................
Mimi si Milionea, ila TAJIRI
wa MOYO MKUNJUFU!
Mie si zaidi,
ila nafanya NIWEZALO!
Sifanyi
sahihi kwa kila jambo,ila kwa hili
nipo sahihi Kukutakia usiku mwema.
................................
Neno "USIKU MWEMA" halimaanishi kuwa ni MWISHO wa siku, bali ni njia ya kuonyesha kuwa nakukumbuka, nakujal, nakuthamin, nakupenda na kukuombea kabla SIJALALA! Nadhani utatambua una THAMANI gani kwangu!! ... Nakutakia USIKU MWEMA!na njozi nzuuuuuuri!! Lala xalama
.....................
Usiku Ni "utulivu"
Usiku Ni "mzuri"
Usiku Ni"upole"
Usiku Ni "kimya"
Lakini Usiku
Haujakamilika
Bila..Kukutakia
Wewe..
U
S
I
K
U=m=w=e=m=a!
........................
Dah! Safari yetu ilikuwa ngumu kweli ila hatimaye tumefika japo ni usiku sana hebu tupige hodi tusije kabwa na vibaka hapa nje.
Hodiiiiii, Hodiiiii,
Tunaomba tufungulie Mlango,, sisi tunaitwa FURAHA, AMANI na UPENDO. Tumebeba HEKIMA, BUSARA na MAFANIKIO.


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/02/sms-tamu-za-usiku-mwema.html

No comments:

Post a Comment