Sunday, February 9, 2020

*πŸ’”KAMA UMEWAHI KUPENDA UTANIELEWA NA KAMA HUJAWAHI KUPENDA HUWEZI KUNIELEWAπŸ’”*

Image result for mapenzi wakubwa

πŸ’£πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”

_Inauma Sana Kuachana na Mtu ambae Unampenda Awe Mke/Mme au Mchumba, Maumivu yake hayaelezeki.πŸ’”πŸ’”

_Chakula hakipiti, wala Usingizi haulaliki._

_Wakati mwingine kutokana na Maumivu makali ndani ya Moyo Kama hauna Khofu ya Mungu unaweza kujikuta unakufuru._πŸ’”πŸ’”

_Unaweza kutamani uhame Dunia hii ukaishi ulimwengu mwingine._πŸ’”πŸ’”

_Na hata kila ukijaribu kumsahau Unashindwa picha yake na Matukio mliofanya yanakuijia kichwani kila sekunde._πŸ’”πŸ’”

_Moyo nao hautaki kumsahau._

_Nataka nikwambie Ndugu yangu wewe siyo kwanza kuumizwa Kihisia wala siyo wa kwanza kuachwa._πŸ’”πŸ’”

_Ukikutana na Hali kama Hiyo Fanya yafuatayo._πŸ’”πŸ’”

_KUBALI KUWA UMEPOTEZA NA CHUKULIA KAMA HUYO ALOKUACHA/MMEACHANA AMEKUFA NA MTU AKIFA HUWA HARUDI._πŸ’”πŸ’”

_WEKA IMANI YAKO KWAMBA HUYO ALOKUACHA ALIKUWA HANA KHERI NA WEWE ANGEKUWA NA KHERI BASI ANGEBAKI._πŸ’”πŸ’”

_KUWA NA SUBRA NA MUOMBE MOLA WAKO AKUPE MTU SAHIHI._πŸ’”πŸ’”

_Kumbuka Unaweza Kuzani jambo lina kheri kwako na kumbe lina Shari kwako na Unaweza kuzani jambo lina Shari kwako na Kumbe lina kheri kwako._πŸ’”πŸ’”

_Kila Unachohisi kizuri Ulichopoteza basi tambua kilikuwa haki kheri kwako.

πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/02/kama-umewahi-kupenda-utanielewa-na-kama.html

No comments:

Post a Comment