ππππππππ
*Iendeshe ndoa kwa unavyomjua mwanandoa mwenzako, USIINDESHE ndoa kwa maneno unayasikia nje ya ndoa yako*.
*Ndoa ni kusomana mkaelewana penye zuri mkapongezana na penye kasoro mkavumiliana kurekebishana huku mkiwa viziwi kuziepuka fitina*.
*Sio wote wanaopenda kuwaona mkipendana basi tahadhari kwani ndoa ni kitu cha thamani Sana, Usije ukaiangusha nyumba ukaishia kujuta na kusononeka*
π«π«π«π«π«π«π«π«
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/02/ewe-mkeewe-mume.html
No comments:
Post a Comment