MWANAMKE ! Uwezi pata mume bora kwa kwenda kwenye makanisa ya upako na kupakwa mafuta kuombewa ...sijui uchawi umekushika..
kumbe mchawi mwenyewe tabia mavazi na ukipata mwanaume kama umepata kazi au wanawake wengine wakipata mwanaume vyakula alivyokuwa anakula alivyokuwa single sasa basi πππanataka michemsho tu kumbe kalikuwa kako single kana kula ugali maharage..
fake life za wadada za chelewesha sana ndoa zaoπππ
fake life za wadada za chelewesha sana ndoa zaoπππ
makanisa ya kilokole ayawezi kukupa mume hata walokole wenyewe awawezi oa mweu badilika
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/02/mwanamke-uwezi-pata-mume-bora-kwa.html
No comments:
Post a Comment