
mke mtamu....
*HAKIKA YA MKE NI NYUMBA NA NYUMBA NI MKE....* ππ»
πππππ
β‘ Mwanamke tulia nyumbani kwako jiandae kumsubiri mume wako ufurahie ndoa yako.
ππππππππππ
β‘ Oga,jisafishe vizuri, ujifukize na ujipambe kwajili ya mumewako..
ππππππππππ
β‘ Jipambe upendeze sio upake mirangi mpaka utishe badala ya kupendeza..
ππππππππππ
β‘ Nguo zakuvutia sio makanga ya mafumbo utamu utaupunguza.
ππππππππππ
β‘ Kidani shingoni herini skioni bangili mkononi pete vidoleni na shanga kiunoni.
ππππππππππ
β‘ Kitandani pavutie chumbani panukie udi, asumini ,mawaridi na vilua.
ππππππππππ
β‘ Kabla hajarudi anza kumchokoza mumeo kwa message za mapenzi ili asichelewe.
ππππππππππ
β‘ Ukihisi hodi yake jiandae kumpokea kwa mabusu na jicho la mahaba.
ππππππππππ
β‘ Muulize hali, mpe pole kwa uchovu bila kuchelewa mpeleke bafuni.
ππππππππππ
β‘ Mahanjumati muandalie chakula umlishe huku kijidekesha kimahaba.
ππππππππππ
β‘ Mapenzi kuashiria uko tayari kwa ajili ya kustarehe.
ππππππππππ
β‘ Tendo la ndoa ni starehe kwa mume na mke hivyo kueni wabunifu mupate kufurahia tendo hilo.
ππππππππππ
β‘ Itunze ndoa yako, mume ni zawadi, kutoka kwa mola wako.
ππππππππππ
*```βπΏ JIPAMBE KWA AJILI YA MUMEO SIO WAJIPAMBA UKITOKA KWENDA KWENYE MIALIKO YA HARUSI NA SHEREHE ZINGINE, APANA USIWE IVO, WANAWAKE ZINGATIENI JAMBO ILI WENGI MWALIFANYA``*
``βLAKINI BADILIKA SASA```
πππππππππ
β‘ Ukipeleka Maji bafuni usiondoke msugue kwa mahaba uwenda kuchoka maji ayafiki mgongoni wewe ni kazi yako kuakikisha maji yamemfikia mwili mzima.
πππππππππ
β‘ Kudeka kwa mumeo muhimu usipo deka kwa mumeo ukadeke kwa nani?
πππππππππ
β‘ Tusichoke kuzidisha mahaba kwa waume zetu ili ata wakiwa kazini wawe wanakumbuka nyumbani
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/03/kwako-mwanamke-uliyeko-kwenye-ndoa-njoo.html
No comments:
Post a Comment