Monday, June 15, 2020

UKIONA MWANAMKE KAVUNJA UKIMYA NA KUANZA KULALAMIKA SANA JUU YA ATTENTION YAKO UJUE DISH📡 LAKE LINAYUMBA KAMA HUJAJUA KULIELEKEZEA KUNAKO FREQUENCY PICHA ITAPOTEA.


Image may contain: 2 people, wedding
Ifahamike kwamba Mwanamke ndiye awezaye kulitunza penzi kama atakuwa na umuhimu katika hilo, Wanaume wengi hulewa UDHAIFU WA MWANAMKE na kujikuta wameweka mazoea kwamba MWANAMKE HUYO HANA UJANJA.
Nature kamwe haiwezi kutoweshwa bali inaweza kutoweka yenyewe, Upendo wa mtu kwa mtu kamwe hauwezi kupotea bali MAUDHI HUUFIFISHA.
Mume na Mke au wapenzi kinachoweza kuwa chanzo cha MAFARAKANO YAO NI UONGO USOKUWA NA TIJA😎
Kwanini iwe uongo usokuwa na tija?
Unajua UONGO mwingine kwenye Mahusiano ni MUHIMU ili kuleta kujiamini upande wa pili, lakini usiwe wa KUFICHA UKWELI kwani hakuna kitu kinaua MAHUSIANO/NDOA kama uongo wa kuficha ukweli ama uhalisia, Samahani nyingi na ahadi fake ndo maana tunajikuta TUNAACHANA japo UPENDO hauwezi kupotea hata kama kutakuwa na DISTANCE Lakini umbali ni ADUI wa UAMINIFU Kwa vyovyote vile KULIKO KUTENGANA NA MNAJIUTA WAPENZI AMA MUME NA MKE BASI MKAE MYAMALIZE na kama haiwezekani Basi kila mmoja akatae kuwa kwenye UHUSIANO/NDOA ambayo ni BUBU kwamba hakuna tena kuongea kwa UPENDO bali mpo kama kondooo zizini mkisubiri muongozwe kutoka kwenda kuchunga😅😅
Mwanamke sio mtu wa kuhangaika na mambo yasimhusu ikiwa Kuna hakika ya Mwanaume kusimama kama MLINZI WAKE lakini kama unamlinda ili wewe uendelee na ushenzi wako Basi tarajia kuona tofauti kubwa kwa Mwanamke huyo, Na wewe Mwanamke Ukiona Mwanaume haeleweki wala hayupo kama ulivyotarajia JIONGEZE maana UNYONGE husababisha MAUTI.


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/06/ukiona-mwanamke-kavunja-ukimya-na.html

No comments:

Post a Comment