Wednesday, June 10, 2020

FANYA HAYA KAMA UNAMPENDA KWELI KWELI MAHABUBA WAKO.

UTAMUZAIDIAPP
📤 Ndugu yangu, Humpi mpenzi wako zawadi yeyote halafu unafosi tu kula mzigo burebure, umemfurahisha na nini mtoto wa watu? Wacha nikuibie siri broo, ""Huyo mwanamke wakati mwingine hata faragha hajitumi kwasababu humpi motisha kaka, Jifunze kutoa zawadi kwa mwenzio ndugu yangu, ninaamini na ninajua ni kitambo hujafanya hivyo na ndio maana ata mkiwa pale kushoto, hajitumi na ukimwita haji kwa wakati.
Rafiki yangu amini kuna vitu ambavyo ukimpa shemeji yangu kama zawadi atakuthamini na kukuona wa maana sana,
♦️mfano; vichupichupi, sidiria, shanga, hereni nzuri, bangiri na mikufu ya kutupia shingoni. Angalizo. Usimnunulie nguo za ndani zenye rangi zinazoficha uchafu mfano nyeusi au rangi ya udongo kwasababu vitamfanya ahisi labda umemwona yeye mchafu sana ndio maana umemchagulia rangi hiyo.Mnunulie kitu white bwaaaana mtoto wa kike ajihisi yupo swaaaafi!.Pia Sikushauri umnunulie nguo za nje bila kumuuliza maana nguo za kina dada zinatoka fashion mpya kila siku sasa unaweza kumchukulia mdela fulani wa mwaka1947 ukampelekea baada ya kufurahia matokeo yake kimoyomoyo anajisemea "HILI NALO MINGUO GANI HII SASA KAMA YA KUVAA MBIBI"
📤 Na wewe, bi.mdada pia usijisahau sana ukakaa na kutegemea kupewa tuuuu... zawadi, lakini wewe vihela vyako vya vikoba hata kumkumbuka na kiboksa mwenzio hakuna ndio maana #mnatemwa sana. Jaman, jitaidi umnunulie ata nguo za ndani pia, kwani sh.ngapi dada angu?? Nasema hivyo maana hizi kila akitupia atakukumbuka sana, kama uauavyo hizi nguo za ndani huwa ni za kwanza kuvaliwa na za mwisho kuvuliwa ndio maana ninasisitiza zitolewe kwa wingi kama zawadi kwa pande zote, (vest, saa za mikononi, manukato mazuri) nk. .Ukimnunulia viatu, shati au suruali hakikisha unajua size yake sio unamchukulia mashati kama ya braza K' au kashati njiwa au msuruali bwanga/oversize. Utapunguza msisimko na morali wa zawadi..
 yangu ni hayo tuu kwa leo...
By Brayton Offical Love...
🔹🔹Nawapenda sana jaman 😘
🔹🔹Tukutane kwa hewa..0658247651


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/06/fanya-haya-kama-unampenda-kweli-kweli.html

No comments:

Post a Comment