Tuesday, June 16, 2020

Mwanaume na Mwanamke usikose URAFIKI WA MAPENZI

Mwanaume na Mwanamke usikose URAFIKI WA MAPENZI:-
"boyfriend and girlfriend" kabla ya NDOA yako.
Urafiki kabla ya ndoa huo ndiyo huibua TABIA HALISI YA MTU kwa vyovyote vile hupashwi kuingia kwenye ndoa kama hujawa na utambuzi wa tabia ya mwenza wako, Watu wengi wamejikuta wanaugulia MIOYO YAO baada ya wenza wao kutokuwa kama walivyo watarajia, Unajua kuna mambo mawili tofauti ila wengi hawajui kutofautisha ni kati ya;
 MAKOSA.
 UDHAIFU.
Makosa yana eneo lake ambalo ni baada ya Mtu kujikuta kakosea iwe kwa kujua ama makusudi lakini akajua kwamba hakupashwa kufanya hivyo, Udhaifu ni ama uhalisia wa Mtu au ni kutokana na kushindwa kuhimili changamoto.
Imagine unaingia kwenye ndoa na Mtu ambaye hujui madhaifu yake unajua unaweza kujua ni MAKOSA wakati ndo udhaifu wake,
MFANO;
Humjui mtu, Mmekutana ukitokea kwenye Mahusiano aliyoyapenda ila yakamuumiza, na wewe umeachwa ama kumuacha uliyempenda na nyote kila mmoja akitafuta FARAJA unafikiri atakuacha uende zako wakati anahisi wewe ni rafiki mzuri πŸ€·‍♂️
Mtu anayetaka FARAJA HAAMINIKI  na ukijaribu kumuamini kuna wakati utakuja KUKULIZA wala hutaamini, Still analo pendo la dhati kwa aliyemuumiza, Kwa sababu hatuwezi KUUMIA kwa watu ama kitu usichokipenda, Mara zote UNACHOKIPENDA ndicho huleta maumivu baada ya HITAJI LA NAFSI KUKOSEKANA πŸ˜­πŸ˜­
Kwa maana hiyo, Aliyeumizwa haimaanishi anataka MTU MWINGINE  ila anataka RELIEF huku akiendelea kubembeleza arudiwe ama asamehewe kwa makosa aliyokosa, Ni ngumu sana KUMPATA MTU ALIYE HURU MOYONI ila ukimpata huyo MSHIKE πŸ€ kwa sababu huyo ataleta MAPINDUZI NAFSINI MWAKOπŸ‘
Nature ya MOYO πŸ’ž haubebi wawili ila MMOJA sasa kama unajua umeingia kwenye UHUSIANO/NDOA ya mtu aliyempenda mwingine niamini UNAKUWA NA NAFASI NDOGO MNO MOYONI MWAKEπŸ€”


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/06/mwanaume-na-mwanamke-usikose-urafiki-wa.html

No comments:

Post a Comment