Friday, June 12, 2020

NDOA NYINGI ZA SIKU HIZI ZIMEKUWA NI KWA AJILI TU YA KULALA NA KUAMKA KULEA WATOTO NA KUZEEKA PAMOJA MPAKA KIFO.


UTAMUZAIDIAPP
_*πŸ’•Ndoa nyingi ni kwa ajili tu ya kulala na kuamka, kulea watoto na kuzeeka pamoja mpaka kifo.πŸ’•*_
_*πŸ’•Wanandoa wengi ni mara chache sana kupeana busu na kukumbatiana wanapopata habari njema.πŸ’•*_
_*πŸ’•Mume humuwekea mkewe chakula mdomoni pale tu mke anapokuwa mgonjwa akawa hawezi kujilisha.πŸ’•*_
_*πŸ’•Ukimuona mwanaume anamfungulia mlango mkewe basi ujue mlango huo ni mbovu au una kasoro.πŸ’•*_
_*πŸ’•Kitu pekee kinachomfanya mwanaume wa kiafrika kuigusa shingo ya mkewe ni pale mke huyo anapolalamika kuwa ana homa. Hatoigusa tena mpaka atakapopata homa nyingine.πŸ’•*_
_*πŸ’•Muda pekee ambao atambeba mkewe mikononi mwake ni pale anapojifungua.πŸ’•*_
_*πŸ’•Ukiwaona wamekaa nje wakati wa usiku, usifikiri wanaenziana. Wanasubiri tu harufu ya dawa waliyopulizia ndani iishe.πŸ’•*_
_*πŸ’•Wanawake wengi wanawanunuliza zawadi waume zao pale tu mume anapokuwa mgonjwa hospitalini.πŸ’•*_
_*πŸ’•Muda pekee ambao wanakimbia pamoja ni pale inapotokea hatari na kila mtu akawa anakimbia.πŸ’•*_
_*πŸ’•Muda pekee wanaokaa pamoja jioni ni pale wanapotaka kwenda kupeleka malalamiko kwa wazazi wa mtu aliyempiga mtoto wao au aliyempa mimba binti yao.πŸ’•*_
_*πŸ’•Muda pekee wanaokoga pamoja ni pale wote wanapochelewa kwenda kazini.πŸ’•*_
_*πŸ’•Muda pekee ambao mke huyatazama kwa ukaribu macho ya mumewe ni pale jicho la mume linapopatwa na uchafu.πŸ’•*_
_*🌹Kwa bahati mbaya, Waafrika wana mawazo kuwa kila mwanaume romantic na mbembezi anakuwa ametawaliwa na mke. Hapo wataanza kueneza umbea.🌹*_
_*🌹Tubadilike.... Mabadiliko yanaanza na WEWE.🌹*_
Ujumbe huu ni muhimu kwa wanandoa wapya2 na watarajiwa. Wengine yalishaga washinda na ukilianzisha leo, utaulizwa maswali kibao na mwenza wako; *Unanitega siyo* Leo *Utanieleza vizuri ulikozitoa stail zako hizi Malaya mkubwa wee!*πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀πŸƒπŸΌ‍♀.
C& P


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/06/ndoa-nyingi-za-siku-hizi-zimekuwa-ni.html

No comments:

Post a Comment