Tuesday, June 16, 2020

Ijue tofauti kati ya UPENDO WA MWANAUME NA MWANAMKE;


 Mwanaume akimpenda Mwanamke anamuweka akilini, yaani kama kuna VIONJO VIPO KI PEKEE atadumu nawe akilini mwakeπŸ˜‚ na wenye BAHATI wao mpaka moyoni huzama hao ndo humfanya Mwanaume hata KUJIUA kulikosa penzi la Mwanamke aliyempenda.
 Mwanamke akimpenda Mwanaume ANAMUWEKA MOYONI wala hapatakuwepo na Mwanaume mwingine ataweza kukuondoa hata awe na NGUVU GANI kwa hakika hataweza kumuingiza MOYONI ila ataweza kumuingiza akilini kwa SABABU ZA KI MAISHA.
Mpaka hapo ushajua kwanini MAPENZI YANA RUN DUNIA🌎
Kila MBABE NA MBABE WAKE πŸ˜‚ ila ukiona wewe unaonewa na Mtu umpendaye ujue kuna mahala nae ni FALA TU πŸ€£πŸ€£ anapelekeshwa mpaka mwishooo, Ndo maana halisi ya UPENDO πŸ’ž UPOFUπŸ€”
Mheshimu akupaye AMANI YA MOYO πŸ’– vinginevyo utajitafutia MARADHI BURE πŸ€¦‍♂️
Maana UTULIVU WA NAFSI UNATOKANA NA HITAJI LAKE kinyume chake utalazimisha kusahau kisichosahaulika mwisho kabisa UFE UNAJIONA πŸ˜­πŸ˜­
utamuzaidiapp


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/06/ijue-tofauti-kati-ya-upendo-wa-mwanaume.html

No comments:

Post a Comment