Najua majibu yenu ndo niliyo nayo, Mwanaume ndo mwenye jukumu la KUTAMKA NDOA MBELE YA USO WA MWANAMKE๐
Lakini ukiona Uko kwenye MAHUSIANO na Mwanaume takribani miezi 6 na Mtu huyo haongelei kama yupo kwenye mpango wa kukuoa HESABU ULIKUWA KWENYE STAREHE na badilisha mwelekeo mapema, Kama umefurahishwa na starehe SHIKAMANA Kwani ndo maisha dadaangu ila kama mtazamo wako Ulikuwa UMEPATA MUME hapo hesabu hasara๐
Waswahili wanasema YAJAYO YANAFURAHISHA basi mwaga manyanga endelea na safari nina hakika huko mbele yupo ambaye ameandikwa kwa kiwango hicho cha HESHIMA YA MUME๐ช๐ฝ
Muda ni Mali hebu tunza Muda uone vile MUDA UNAVYOTUNZA FURAHA๐๐ป♂
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/03/ni-nani-mwenye-mamlaka-ya-kutamka-ndoa.html
No comments:
Post a Comment