Uonapo uko kwenye MAHUSIANO ambayo wewe unalilia UHURU kwa mwenza wako, Wakati huo yeye analinda SIRI zake ujue UKO hatarini kupata MFADHAIKO WA NAFSI๐ญ
Uhuru kwenye MAPENZI ni AMANI pamoja na FURAHA๐
Uonapo mwenza wako anakupa nafasi ya mchana tena nje ya nyumbani kwake na awapo nyumbani kwake "USIKU" inakuwa ngumu kuwasiliana nae ujue WEWE NI MCHEZAJI ULIYE BENCH sio kama hutacheza laa hasha UTACHEZA mazee ila huna kipaumbele na pengine wewe mechi zako za ujilani mwema hazina NGAO YA HISANI๐ ๐ ๐
Namba imejaa Kwani kikosi kipo kamili, Maana yake nyumbani Kuna ambaye YUKO๐ช
Janga kubwa kuliko yote ni pale unapomkosa WKEND YULE AMBAYE UNAAMINI UNAMPENDA Yaani jumamosi humuoni, Jumapili hayupo BADO UNATAKA KUJIAMINI UNA MTU๐
Mtu yupo kweli ila MPENZI huna๐
UHURU kwenye MAPENZI ndo AMANI yenyewe ila ukiishakosa UHURU kwa mwenza wako ujue HAUKO PEKE YAKO๐
#Elista_Kasema_ila_Sio_She
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/03/mapenzi-hazina-yake-amani-ya-nafsi.html
No comments:
Post a Comment