Kwanza nicheke kisukuma๐๐ Sikujua kama angerudi na kusema hayo๐๐ฟ♂ Alipokuwa anaondoka aliapa viapo vyote na kutamka wazi MIMI SI KITU WALA SIMTISHI KWA LOLOTE... Ndivyo walivyo watu ambao hawajui nini hitaji lao kwenye MAPENZI! Ni rahisi kuyajenga mapenzi japo kwa taabu ila tu mkiwa bado hamjatengana๐ Aliishakuwa na wake nawe ukapata wako lakini MIOYO YENU INAHITAJIANA je unajua kwamba Mapenzi yakiisha ingiliwa MAWAZO YA USALITI AUTOMATICALLY HUKOSA RADHA... Unaweza kumpa nafasi nyingine akawa mzuri kuliko mwanzo lakini je MOYO WAKO UMEKUBALIANA NA KUSHARE PENZI? Alikuacha akaenda kwingine na sasa anataka kurudi UNA HAKIKA GANI KULE ATAONDOKA JUMLA๐คท๐ฝ♂ Tabia ya kubadilika badilika ni maumbile ya KINYONGA๐ฆ je unaamini bin adam asiye na msimamo huitwa KIGEUGEU? Amua mwenyewe but usitegemee kufurahia penzi la mtu huyo kwani ASIYE NA MSIMAMO WALA HAJUI UMUHIMU WAKO๐ณ
Kwa maana hiyo mpaka anakuondoka aliishakukinai ALIACHA NINI ANATAKA KURUDIA? Bin adam Bwana ni shida YAANI USHINDWE KUFURAHIA CHAKULA HAKIJALALA HALAFU KESHO UKITAMANI KILICHOLALA TENA CHA KUPASHA KWENYE MICROWAVE๐คท๐ฝ♂ hiyo itakuwa njaa tu,
Ishi maisha yanayokupendeza kuliko kufuata kinachompendeza mwingine, Utumwa wa MAPENZI hauna ukombozi wa maandamano ama vita bali ni FIKRA PEVU NA MAAMUZI SAHIHI๐ช๐ฝ Pigania furaha yako kuliko kungojea mtu akufurahishe.
#Elista_kasema_ila_Sio_she
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/03/amerudi-anasema-nimsamehe-kwani.html
No comments:
Post a Comment