Saturday, May 16, 2020

USILETE UTANI KATIKA MAPENZI

Fanya hivi ili furaha itamalaki katika penzi lako – Bingwa
_Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani anapendwa_
_na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe_ _atafanya nini endapo ataamua kuondoka na_
_kumuacha!_
_Mwanamke huyo akaamua kuandika barua_
_inayosema *"Samahani mume wangu*,_ _*nimeamua*_
_*kuondoka na kwenda kuanza maisha mapya mbali*_
_*na wewe"*Barua hiyo akaiweka juu ya meza iliyokuwa_
_chumbani._
_Baadaye jioni, muda wa Mumewe kurudi_
_mwanamke huyo akajificha chini ya uvunguni_ _wa_
_wakitanda mule chumbani Mume alipoingia_
_chumbani akakuta ile barua juu ya meza,_ _akaisoma_
_kisha, akaandika maneno fulani kwenye ile ile barua,_
_halafu akaanza kuimbaimba kwa furaha huku_
_akipiga milunzi na akiwa anavua nguo.Akapiga_ _simu_
_na akasikika akisema hivi_ _*"hello mpenzi, nina raha*_
_*sana leo.. yule mwanamke nuksi ameondoka*_ _*mwenyewe bila kumfukuza*_
_*nakutuachia uwanja, jiandae*_
_*nakuja*~"Muda huo huo Mume akaondoka.~_
_Mwanamke alipokuwa uvunguni akawa analia na kutokwa na machozi akaamua kutoka_
_lakini amenyong'onyea na amelowa mashavu kwa_
_machozi._
_Akasogea pale ilipo barua na akataka kujua_
_mumewe aliandika kitu gani kwenye ile barua._
_Akakuta maneno haya *"nimekuona miguu yako*_
_*uvunguni tafadhali andaa chakula nina njaa sana*_
_*mumeo, ila nimetoka kidogo nafuata maziwa*_
_*nilisahau kupitia. Nakupenda mke wangu..*_
πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
_Hivi nani kampata mwenzakee_
_Kama umeipenda plz share na mwenzako ujumbe aupate_
_Nimeipenda_


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/05/usilete-utani-katika-mapenzi.html

No comments:

Post a Comment