Thursday, May 21, 2020

👉 MWANAMKE KWA MAUMBILE ANAWEZA KUWA SEHEMU YA MAISHA YAKO LAKINI SIO KILA MWANAMKE ANAFAA KUWA MKE⛔

Je unamjua Mwanamke ambaye hawezi kukujutisha🤭
👉 MWANAMKE KWA MAUMBILE ANAWEZA KUWA SEHEMU YA MAISHA YAKO LAKINI SIO KILA MWANAMKE ANAFAA KUWA MKE
Wanaume wengi hawajui ni Mwanamke yupi ndiye anafaa kuwa MKE💯
Sio kila Mwanamke anafaa kuwa MKE ila kila Mwanamke anafaa kwa matumizi ya ki MAPENZI.
Ngoja nikwambie Mwanaume upate kuwatofautisha Wanawake :-
👉 MWANAMKE AMBAYE TAYARI AMEZAA🤱 ANAYO MAPENZI MENGI KWA SABABU NI MHITAJI WA FARAJA ILA UPENDO WAKE UNAYUMBA KUTOKANA NA TAYARI ANAE MWANAUME AMBAYE ANA DHAMANA MOYONI MWAKE KUPITIA MTOTO.
👉 MWANAMKE AMBAYE ALIWAHI KUTOA MIMBA HUYU ANAWEZA KUWA NA JAPO ASILIMIA 56% KWAMBA AWEZA KUKUPENDA ILA KILA ATAKAPOKUMBUKA UTOAJI WA MIMBA 🤰ILE ANAWEZA KUWA KIGEUGEU.
👉 MWANAMKE AMBAYE HAJUI HABARI YA MIMBA WALA MTOTO ILA AMEBIKIRIWA HUYO ANA NAFASI KUBWA KUWA MKE WAKO JAPO HAKIKISHA HAKUWAHI MPA MOYO WAKE MWANAUME MWENZIO WALLAH AWEZA KUKUPA STRESS.
Yote na yote MWANAMKE NI KIUMBE KINACHOHITAJI ONGEZEKO LA UONGO KILA SIKU na unapo mwambia Mwanamke ukweli hakikisha una PESA 💯


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/05/mwanamke-kwa-maumbile-anaweza-kuwa.html

No comments:

Post a Comment