Monday, May 18, 2020

HII NI MPYAA KWAKO TANGU UZALIWE UMEWAHI ONA HII


WOMEN'S CORNER | JoJo The Fighter
💞chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
💞kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
💞chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
💞kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
💞km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
💞kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
💞ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
💞Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
💞big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
1
💞kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
KWA HISANI YA DAWA MBILI BORA


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/05/hii-ni-mpyaa-kwako-tangu-uzaliwe.html

No comments:

Post a Comment