Sunday, May 31, 2020

Ulishawahi kukutana na hili kwenye mikasa ya mapenzi?

Black couple having a conversation at a cafe outdoors in the spring Stock Photo - 47837056
Hii ni kuwakumbusha tu wale ambao bado wako wanagoogle jamani mke mwema
mwenzeni nilikutana na dada mmoja wa exim enzi hizo zijui yuko wapi siku hizi
mzuri anaumbo bashasha ilipofika siku ya kujaribu kama tunaweza ishi pamoja
binti nikampeleka sinza pale mapambano kushoto kuna ka guest akajaandikwa jina
sijui kama bado kapo kana geti nyeusi imeandikwa

“””””””””””sukuma hapa””””””””””””””””””””””” opposite na kijitonyama hospitali
tukaanza kula na kunywa baada ya muda mwenzenu nikazidiwa nikaanza kuwahi
tunda binti akaanza kugoma ilinichukua dk 20 mpaka kujua kwa nini anankatilia
anataka kuvua mwenyewe na mie sijazoe kuvuliwa hee gafla aakaenda kwenye kona ya ukuta
akachukua taulo akajifunga akashusha kila kitu

mmh machale yakanicheza huyu asije kuwa mwanaume mwenzangu nikaamua na mimi kuvaa
nguo kujitayarisha kwa lolote..nikamuuliza vipi dear akasema basii tu nikaenda chooni
niliporudi nikaenda kushika alivyovyua weeeeeee weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

mjini usione wanawake wamependeza wanawane ukazani origin klumbe comedy
nikakuta kuna dubwasha limetengenezwa kama plastic lina yale mamboyetu nyuma na hips
pembeni nakwambia nilichuku amuda kujifikiria kablaya kuamua kumwambia tuendele na vinywaji
enzi hizo ujanani mpaka nikaalala nikaamka nikamwaga twende vipi nikamwambia nahisi
ninaumwa kichwa sana kama si malaria alipolazimisha nikamwambia nikohoi mwaya kesho tuchekiane

pengine alikuwa kosa langu wala lako uliekaa kimya ila nivizuri uwe makini usione kila kimeeundwa mjini
cha kumemena vingine goooooooppp


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/05/ulishawahi-kukutana-na-hili-kwenye.html

No comments:

Post a Comment