Wednesday, May 27, 2020

KWA KIJANA ALIYEATHIRIKA NA UFANYAJI WA TENDO LA KUJICHUA (PU-NYETO) MDA MREFU SOMA HAPA.


nawasalimu wote katika namna ya upendo mkuu wa Kristo.. Vijana wengi hivi Leo wa kanisani wamekuwa wanajihusisha sana na vitendo vya kujichua (puny-eto) kwa kisingizio kuwa wanaepuka dhambi ya uzinzi na mimba zisizotarajiwa, na kwa sababu hiyo vijana hao wanafanya vitendo hvyo kwa mda mrefu na kujikuta wakiingia kwenye ndoa wanajikuta mambo tayari yameshaharibika., imekuwa kawaida kusikia vijana kadha wa kadha waliokuwa wakijihusisha na upigaji puny-eto wa mda mrefu wakihangaika na tatizo kubwa la kulegea kwa dhakari zao na kila wakitaka kushiriki tendo la ndoa wanashindwa, wengine wanajikuta dhakari zao haziwezi tena kurudia tendo la ndoa kwa Mara nyingine tena na tena, wengine dhakari zao zinakuwa dhaifu kiasi kwamb zinawahi kufika mshindo na kuamka tena inakuwa mtihani, wengine dhakari zao ni dhaifu kiasi ya kwamba zinalala katikat ya tendo la ndoa.. sasa nisikilize kwa makini km na ww ni miuongon mwa humo basi ungana nami katka tiba hii...
MIZIZI YA MIGOMBA + VITUNGUU SWAUMU.
chukua mizizi ya migomba ya aina yeyote karibu nawe, ichukue ya kutosha saizi yako uitakayo.. chukua na vitunguu vyako swaumu weka pembeni..
Safisha vizuri miziz yako ya migomba, utajua mwenyew utatumia njia gani ya kusafisha ila safisha toa uchafu uchafu wa kweny mizizi.. menya vitunguu vyako swaumu.. vitunguu swaumu utajikadiria tu hata viwili sio mbaya kulingana na uwingi wa mizizi yako ya migomba uliyoichukua.
ukishamaliza hapo hebu chukua vyote kwa pamoja tia kwa sufuria yako, kulingana na uwingi wa mizizi yako hakikisha km n maji mfano umetia Lita 5 basi ichemke mpk ibaki Lita 3 yaani 1/3 ya maji inabidi iteketee kwa sufuria.. km umeweka Lita 3 basi ichemke ibaki Lita 2.. nadhan umenielewa vizuri hapo..
epua maji yako weka pembeni yaache yapoe kabisa.. yakishapoa yachuje vizuri.. utajua mwenyew utachuja kwa namna gani..
yatumie maji hayo uliyoyachuja sasa.. asubh tumia glass yako moja, mchana moja na jioni moja.. Fanya hvyo kwa siku 10 mfululizo utakuja kunishukuru baadae..
inatibu kabisa kwa mtu aliyeathirika na kujichua mda mrefu, maan inazibua mirija yote ya damu iliyoziba, inaamsha misuli iliyolala na kuharibiwa kwa kujichua mda mrefu, inaongeza kiasi cha mtiririko mzuri wa damu huko kwa dhakari.. dhakari yako itarudi km uko na 18 years.. haitalala lala tena hovyo, utakuwa na uwezo wa kurudia tendo ukiwa na mkeo na pia utachelewa kufika kileleni..
NB: kwa kijana ambaye hujaoa tumia hiyo tiba huku ukisema kuwa ww kujichua sasa tena basi mwisho, utaacha maisha yako yote na hakika ukijakuoa hutaweza kuona hayo madhara ya uliyokuwa unajichua kwa mda mrefu... uliyeko kweny ndoa njoo unishukuru baadae... kingine acha zinaa.. oa, mrudie Mungu.
UTAMUZAIDIAPP


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/05/kwa-kijana-aliyeathirika-na-ufanyaji-wa.html

No comments:

Post a Comment