Monday, May 4, 2020

[WANAWAKE TU] MATUMIZI YA MAFUTA YA NDIMU UK-ENIπŸ‹



πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹
Rahmer Salum on Twitter: "JE WAJUA! Makabila 10 yenye wanawake ...


BONYEZA HAPA KUPAKUA APP YA UTAMU KITANANI UJIFUNZE MENGI KUHUSU MAPENZI 

Chezea mafuta ya ndimu weye..πŸ‘Œ
πŸ‹πŸ‹
Mafuta ya ndimu katika mwili wa mwanamke husaidia kuusafisha uke na kutoa bacteria zote zilizopo mule, namaanisha nini wanawake sisi huwa uk-eni kunapitia mambo mengi sana ukiacha uume tuna bleed, huwa tunajifukiza huko, tunatumia sijui madawa gani ya kuoshea huko yani vurugu kibao
πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹
Mafuta ya ndimu ni mazuri sana katika kusafishia huko uk-eni na kukata harufu mbaya hata mmeo akitaka kyuma yake unakuwa na harufu nzurii ya kupendeza upo nyonyoπŸ‘ŒπŸ‘Œ
πŸ‹πŸ‹
Pia shoga zangu mafuta haya yanasaidia kutaiti uke wako kama huko chini pametanuka πŸ‘Œkwaiyo ukipaka mafuta haya utakuwa mdogo kama bikra upoo
πŸ‹πŸ‹
Endelea kutumia mafuta ya ndimu mara kwa mara utaona kama utalalamika mambo ya kuwashwa, UTI au fangasi vitakwisha vyotee

BONYEZA HAPA KUPAKUA APP YA UTAMU KITANANI UJIFUNZE MENGI KUHUSU MAPENZI 
πŸ‹πŸ‹
πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹JINSI YA KUTUMIA MAFUTA πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹
Ukishamaliza kuoga na kujiswafi kyumani na umejikausha vizuri.
πŸ‹πŸ‹
Chukuwa kitambaa chako kisafi na kilaini kichovye katika yale mafuta yako ya ndimu
πŸ‹πŸ‹
kisha anza kusafisha uke na kupaka hayo mafuta ya ndimu kwa kutumia kile kitambaa kilaini na kisafi kuzunguka mashavu yote ya kyuma na kwa ndani kidogo utaratibu usitumie nguvu.
πŸ‹πŸ‹
Ukimaliza usinawe kwa maji vaa chupi yako endelea na kazi zako mpaka jioni ukiwa unaoga ndio upasafishe ulale ukiwa fresh baada ya kuoga jioni usipake tena kitu chochote kile lala hivyohivyo.
"πŸ…±πŸ‘‰πŸΏπŸ”š" 0658247651

BONYEZA HAPA KUPAKUA APP YA UTAMU KITANANI UJIFUNZE MENGI KUHUSU MAPENZI 


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/05/wanawake-tu-matumizi-ya-mafuta-ya-ndimu.html

No comments:

Post a Comment