Wednesday, April 1, 2020

MWANAMKE NISIKILIZE VIZURI SANA KWENYE HILI

πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž
*Achana na maneno ya watu wasiojua thamani ya mume ambao hudiriki kusema: atajijua akitaka atasema na mimi asipotaka aache mimi nd’o mkewe.”*
*kasoro nyigine ni kwamba wapo wanawake hutaka kuishi kwa mashindano na wanaume zao*
*nawaombeni kinamama msifanye hivyo, mwanamke akiwa kiguu na njia, aibu yake ni kubwa zaidi ya mwanaume*
*uchafu wako, utamfanya yeye aonekane msafi wakati ukweli naye hajatulia*
πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/04/mwanamke-nisikilize-vizuri-sana-kwenye.html

No comments:

Post a Comment