Sunday, April 26, 2020

akiogopa ni KUZAA MTOTO AMBAYE HATAKUWA NA MAPENZI YA BABA YAKE😭


Ziko ndoa nyingi sana pengine napata ujasili kuitaja asilimia 85 wanawake wanaishi kuitunza heshima yake, kulinda watoto wake, kuogopa kuanza mikiki mipya ya mapenzi, Na wengine fikra zao kutawaliwa na wazo kwamba wao tena sio wanawake wanaoendana na kipindi kilichopo Yaani kwa lugha fupi ANAJIONA AMEPITWA NA WAKATIπŸ™†πŸΏ‍♂
Ni kweli kabisa MWANAMKE NDIYE MLINZI NA MTETEZI WA MAHUSIANO/NDOA Kwani Mwanamke akivunjika moyo wa kuendelea mara nyingi PENZI HUFA... Ziko ndoa nyingi Mama na Baba wanatoka geti moja but huko ndani hawali meza moja wala kulala chumba kimoja achilia mbali kitanda kimoja wala wasikumbuke ni lini ilikuwa mwisho kukumbatianaπŸ™ˆ
Hatuwezi kushindwa kuwakosoa wanawake lakini tujue jambo moja ili wakati tunamkosoa Mwanamke tumpe haki yake, Mwanamke akipewa nafasi ya kuelezea kinachomuumiza mara nyingi hujisikia AMANI hata kama majibu ya upande wa pili yatakuwa YA KUMPUMBAZA ILI SIKU ZIENDE🀣
Kwa maana hiyo unagunduwa kwamba kosa liko kwa MWANAUME KUSHINDWA KUTOA NAFASI YA KUMSIKILIZA MKEWE na ukifuatilia utabaini kwamba WANAUME TUNAPEANA UJINGA WA JINSI YA KUISHI NA WAKE ZETU🚫
Mwenzio ameoa KAHABA na Wewe umemtoa Mke wako kwenye Maadili UTAWEZAJE KU-COPY TREATMENT KWA TOFAUTI HIYO? Ukijua KUTONGOZA basi rafiki yangu ujue na KUBEMBELEZAπŸ’ƒ
Wanawake ni watu wazuri sana ukiweza kucheza na akili yake, imagine unakutana nae barabarani unamtongoza na anaanguka kwenye himaya yako UNASHINDWAJE KUMFANYA AWE WAKO MILELE BILA KUMKOSESHA FURAHA? Nadhani na ninyi wanawake hebu wachunguzeni hao wanaume mnakutana nao, Maana bora akuombe urodaπŸ˜‹ tu na asikutajie NAKUPENDA! Maana najua mnako kaugonjwa ka KUPUMBAZIKA KWA MANENO MATAMU πŸ˜‚ sasa rafiki sio kila neno tamu lina sukari, Wapo wanayatoa maneno matamu juu juu ila chini ya uhalisia ni kuchungu hatariπŸ“Œ
Nadhani tubadili mfumo wa MAPENZI tutoke kwenye NAKUPENDA na twende kwenye NAKUTAKA🀦🏾‍♂
Maana neno NAKUPENDA kwa sasa linatumika kama JOJO kwamba ukianza kuitafuna ni tamu but unajua mwisho wake utakuwa UMEFYONZA SUKARI YOTE mwisho wake ni kufanyaje? Sema KUTEMAAAπŸ™‹πŸ»‍♂
Wanawake niwape mbinu🀷🏽‍♂
Kabla ya kumpenda mtu nawe mkubali kwa sekta ya kutimiza haja ya mwiliπŸ™ˆ
Ukiona anakupenda nawe sasa chenjia gia anganiπŸ›« ili mwende Sawa, Mambo ya kutamkiwa NAKUPENDA unaingia kichwa, miguu, mwili, akili na MOYO bila kujua hitaji la mwenzio AKIKUBADILIKIA VIDONDA VYA TUMBO VINAKUHUSUπŸƒ‍♀πŸƒπŸ»‍♂


source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/04/akiogopa-ni-kuzaa-mtoto-ambaye-hatakuwa.html

No comments:

Post a Comment