Sunday, November 24, 2019

LIVE: Rais Magufuli Akipokea Gawio Kutoka Taasisi Mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  anapokea gawio, michango na ziada ya Serikali kutoka mashirika, kampuni na taasisi mbalimbali ambazo zinamilikiwa na Serikali.
 
Hafla ya kupokea gawio, michango na ziada hiyo inafanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma

No comments:

Post a Comment