πJifunze kusamehe madogo madogo
πJifunze kuomba msamaha
πChunguza na ujue kitu gani anapenda zaidi ufanye au umfanyie ILI UFANYE UYAFANYE pia Chunguza ni mambo gani anachukia ukiyafanya au ukimfanyia ILI UYAEPUKE
πAcha tabia za kitoto kama unazo
πUsipende kuwa bize saana kuchati wakati upo nae
πEpuka kumdanganya mara kwa mara
πPendelea kumpa zawadi ndogo ndogo mf. Hata hereni za elfu 1
πMueleze ndoto zako na mipango yako ya baadae kwake
πPunguza hasira za mara kwa mara
πMfanye afurahi anapokuwa nawe sio unakuwa sura mbuzii tu.
π₯AYO NI BAADHI TU ILA YAPO MENGI
ππILA KUMBUKA SIO KILA MWANAMKE UTADUMU NAE HATA UKIFANYA YOTE HAYO. KWA SABABU WANAWAKE WENGINE HUWA NA TABIA ZISIZOWEZA KUVUMILIKA KAMA VILE KUDANGA N.K
πππNashukuru kama umenielewaπππ
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/04/mwanaume-kama-unataka-kudumu-katika.html
No comments:
Post a Comment