π¨Tunakwama Wapi Kwenye Mafanikio??!
π¨Muda huu baadhi ya watu wengine wamelala wanaota mafanikio, wakati wengine wameshaamka wanafanya kazi.
π¨Yakupasa ujue mafanikio sio vitu ulivyokamilisha kwenye maisha yako, bali ni nini ulichowahamasisha wengine kufanya na wakafanikiwa kupitia wewe.
π¨Mtu mwenye mafanikio ni yule anayeweza kujenga msingi imara kwa kutumia matofali mabovu yaliyotupwa na watu wengine.
π¨Njia mbaya ya kufanikiwa ni pale unapojaribu kutafuta mtu ambaye ana furaha kwaajili yako.
π¨Usijaribu kuwa mtu mwenye mafanikio, bali jaribu kuwa mtu wa thamani kwa thamani hukupa mafanikio.
π¨Hakuna siri nyingine ya mafanikio, bali ni matokeo ya maandalizi, kufanya kazi kwa bidii na kujifunza kutokana na kushindwa.
π¨Mafanikio ni kupita kutoka aina moja ya kushindwa hadi nyingine bila kukata tamaa.
π¨Tuhitimishe hivi Mafanikio ni kupata unachotaka, furaha ni kutaka unachopata.
Okota hata moja Itakusaidia.............π₯
source https://utamuzaidiapp.blogspot.com/2020/04/chukua-hii-kuhusu-mafanikio-itakusaidia.html
No comments:
Post a Comment